Featured
Loading...

Video ikimuonyesha Wema Sepetu akiyaongea yote baada ya kukosa nafasi ya Ubunge Singida.

wema 13Mwigizaji staa wa Tanzania Wema Sepetu alikua akiwania nafasi ya Ubunge wa viti maalum Singida lakini kwa bahati mbaya hakuipata hiyo nafasi, kakaa kwenye Exclusive Interview na AyoTV na kuyazungumza yote kwa ukweli wake kwenye hii video hapa chini.

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright KWA HABARI MOTO MOTO ZA TOWN | Designed By Code Nirvana
Back To Top