
Baada
ya baadhi ya wasanii wa Bongo Fleva na Bongo Movie kuonesha msimamo wao
katika kuwaunga mkono wagombea flani wa Urais. Msanii mwenzao Ray
Kigosi ameonesha msimamo wake na kwa maneno haya.
"Usiku
wa jana nimetafakari vi2 vingi sana kuhusu Nchi yangu iliyobarikiwa
kila aina ya utajiri wa madini mbuga za wanyama wakiwemo aina mbalimbali
za wanyama wa kuvutia na hekta kubwa za misitu Ila ninaona vipofu wengi
sana wasiolewa nini 2lichobarikiwa ndani ya Tanzania ye2.


Post a Comment