Featured
Loading...

Kuhusu dawa ya kwanza ya kuongeza hamu ya kufanya mapenzi kwa wanawake.

dawa Shirika la Dawa na Chakula nchini Marekani (FDA) limeidhinisha matumizi ya dawa ya kwanza kabisa iliyoundwa mahususi kwa ajili ya kuongeza hamu ya kufanya mapenzi kwa wanawake.
CEO wa kampuni iliyotengeneza dawa hii Cindy Whitehead,  “Sprout Pharmaceuticals of Raleigh, N.C.” amesema “Ndio kit walichokuwa wakisubiri kwa muda sasa, itasaidia wanawake wengi wenye tatozo hilo “. Dawa inaitwa Addyi na inafananisha na “Viagra for women”

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright KWA HABARI MOTO MOTO ZA TOWN | Designed By Code Nirvana
Back To Top