Soudy Brown amepata tetesi kuhusu kuwepo kwa ndoa kati ya mastaa wawili Ali Kiba na Jokate, akaona asiliache lipite hivi hivi na kuamua kuzungumza na Ali Kiba kutaka kujua ukweli wa mambo. Ali Kiba amekanusha habari hizo kuwa si za kweli na hajawahi kulizungumzia jambo hilo kama taarifa hizo zinavyodai.
Soudy Brown amepata tetesi kuhusu kuwepo kwa ndoa kati ya mastaa wawili Ali Kiba na Jokate, akaona asiliache lipite hivi hivi na kuamua kuzungumza na Ali Kiba kutaka kujua ukweli wa mambo. Ali Kiba amekanusha habari hizo kuwa si za kweli na hajawahi kulizungumzia jambo hilo kama taarifa hizo zinavyodai.


Post a Comment